
WAKALI Kwanza kwa ujumla ina members watatu ambao ni Makamua,QJ, pamoja na Zadao.
Pichani ni Joseph Mapunda,QJ pamoja na Mack Paul,Makamua.aadhi ya kazi ambazo zimeweza kuwatambulisha vyema kwenye medani ya muziki ni pamoja na 'Rudi Nyumbani', 'Sifai',Why',Lonely,na 'Natamani' ambayo imetupatia tuzo kama nyimbo bora ya rnb mwaka 08/09.
No comments:
Post a Comment